Monday, July 25, 2011

MAMBO YA FIESTA NDANI YA JIJI LA TANGA..ILIKUWA POWA SANA..THANX ABEDEL KWA PICHA ZILIZOTUFIKIA

mashabiki waliokuwa wamejaa kwa ajili ya show..yani ilikuwa full majotrooooooooooo
BEKA ana msanii mwenzake wa THT
Mja ya wasanii waliohudhuria show ya fiesta wakiwa katika picha ya pamoja na swagger zao tofauti
MWANA FA akiwa anawarusha mashabiki wa tanga ndani ya fiesta
ADAM MCHOMVU&WAKUVANGA
watu walijiachia kwa sana pande kwa mkwakwani kwa ajili ya show..ambayo ilikuwa ni hot sana

No comments:

Post a Comment