Tuesday, July 19, 2011

Washindi Redds Miss Temeke 2011 wajazwa mapesa

Afisa Mtendaji Mkuu wa Jambo Concepts, Juma Pinto akimkabidhi Sh milioni 1.5 mshindi wa pili wa shindano ka Redds Miss Temeke 2011, Cynthia Kimathi katika ofisi za gazeti la Jambo leo. gazeti la Jambo leo ilikuwa moja wa wadhamini wa shindano hilo lilofanyika mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment