Kijana huyoambaye alikuwa nchini uingereza kwa ajili ya maonyeshoo ya fashion arudii nchini akipokelewa kwa shangwe kwa kuiwakilisha vema nchi yake kwenye fashion show na tulibahatika kupata picha yake moja akiwa ametua kwenye uwanja wa j.k. nyerenyere airport
No comments:
Post a Comment