hivi ndivo mambo yalivyokuwa ndani ya jiji la tanga hiyo siku ya jumapili baada ya kaka yetu mpendwa kujichukulia jiko lake kwa shangwe nderemo na vifijo..kiufupi watu waliokuwa ukumbini walisema mengi..ila ukweli tunamuachia muumba mbingu na ardhi na mwenye enzi hii yote ni mMUNGU
CRIZE BOOGY akiwa na dogo wake REINHARD ndani ya kivazi cha ukweli |
Huyu ndiye ALLEN ambaye ni baba mzazi wa YOUNG EMMA na pia ni mwasibu wa WHITE RIBBON |
Huyu ni ELIAMAN pacha wa allen |
miss tanga mwaka jana JHALLY MURAY akiwa na afisa mikopo wa NMB ZAINABU MSANGI ambaye ni dada wa TAFFGUYZ |
keki y mfanooo..ilikuwa ya kushangaza umatii
No comments:
Post a Comment