|
KONA pamoja na kichwa kingine cha ELYZ RECORD kinachokwenda kwa jina la BATRUMOIL ambacho kipo mbioni kuachia single yake redion |
|
Hii ndo studio ya ELYZ RECORD toka pande za tanga so kwa wajanja na wanao sapoti mziki wa bongo mnakaribishwa kwa maujanja kibao toka ndani ya studio hii |
|
Hili ni kundi la PAMOJA ACTION ambalo liko chini ya labal ya ELYZ RECORD ambalo lina vichwa vikali vinavyochipukia kwenye game letu la BONGOFLEVA..wa kwanza kushoto ni G AU MAN CARDO ngoma yake inakuja soon,wa pili BAGUJE ambaye amefanya ngoma ya natamani na yupo mbioni kuachia album,mwingine ni mwanadada MEY ambaye anatamba na vibao vyake kama mapenzi noma na umeniacha na mwenye kizibao ni producer KONAw mwisho ni PRODUCER CHOPA ambaye naye anakuja kwa kasi..kaeni mkao wa kula |
Huyu ndiye producer KONA ambaye ni moja ya ma producer wa production hii ya ELYZ RECORD na ambaye amefanya singo na wasanii kama SHAROMILIONEA, GELLY WA RYMES,DULLAYO na wasanii wadogo wadongo kibao..na hivi karibuni yupo mbioni kudondoka na single mpya na kali kibao
No comments:
Post a Comment